









Bei ya muuzaji: TSh 24,500,000
Honda Stepwgn Spada ya mwaka 2014 inauzwa. Gari hili lina injini ya Petroli 1990cc, Automatic transmission, na ni nyeupe. Imeingizwa kutoka Japan na bado haijasajiliwa Tanzania. Ina “push to start” na AC kamili.
Business Seller β’ Matangazo 16 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.