









Bei ya muuzaji: TSh 7,300,000
Honda Fit ya mwaka 2005, rangi ya silver, inauzwa kwa bei ya TZS 7,300,000. Gari hili lina injini nzuri, gia box nzuri, na AC inafanya kazi kikamilifu. Imeandikishwa Tanzania ikiwa na namba D.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.