









Bei ya muuzaji: TSh 16,800,000
Daihatsu Boon ya mwaka 2008, injini ya 1490cc, inauzwa kwa 16.8 milioni TZS. Gari hili la rangi ya dhahabu limeingizwa kutoka nje ya nchi na halijasajiliwa, lina ‘Push to Start’ na rimu za michezo.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.