







Bei ya muuzaji: TSh 29,800,000
Audi Q5 S-Line ya mwaka 2011 inauzwa ikiwa na injini ya 1,990cc na mileage ya zaidi ya kilomita 70,000. Gari hili lina transmission Automatic, rimu za sport, viti vya ngozi na cruise control. Imeingizwa kutoka nje ya nchi na haijasajiliwa Tanzania, huku kodi zote zikiwa zimelipwa.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.