













Bei ya muuzaji: TSh 38,800,000
Toyota Prius Hybrid ya mwaka 2017 inauzwa. Ina injini ya 1790cc, automatic transmission, na inatumia petroli pamoja na mfumo wa hybrid. Gari ina milango 5, rangi nyeupe, na imetembea kilomita 60,000. Haijasajiliwa nchini.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.