









Bei ya muuzaji: TSh 8,000,000
Suzuki Escudo ya mwaka 2000, rangi ya Silver, inauzwa kwa milioni 8. Ina injini ya G-16 yenye CC 1500, AC kamili, na Android Music. Gari hili limetumika Tanzania na lina namba T935 BDC, likiwa limetunzwa vizuri na lina mambo ya ndani safi.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.