









Bei ya muuzaji: TSh 17,800,000
Toyota Crown Majesta ni sedan ya kifahari yenye muonekano wa kuvutia. Gari hili lina AC baridi, mfumo mzuri wa muziki, na rims za alloy. Engine na gearbox ziko katika hali nzuri. Imeandikishwa Tanzania na inauzwa kwa TZS 17,800,000.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.