









Bei ya muuzaji: TSh 100,000,000
Toyota Harrier mpya ya mwaka 2024, rangi nyeusi, ikiwa na injini ya 1998cc na mileage ya kilomita 45 pekee. Ina Modellista full chrome kit, magurudumu ya alloy, na mambo ya ndani ya ngozi. Gari hili lina sifa za kifahari kama Head Up Display, JBL Premium Entertainment System, kamera ya 360, na viti vyenye uwezo wa kupoza na kupasha moto. Haijasajiliwa nchini Tanzania.
Business Seller • Matangazo 18 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.