





















Bei ya muuzaji: TSh 23,000,000
Subaru Forester XT ya mwaka 2009, injini 1990cc, mileage 69,000 km, rangi nyeusi. Gari hili limetumika Tanzania na lina sifa kama body kit, fog lights, push start, kamera ya nyuma na redio ya Android. Bei ni milioni 23.
Business Seller • Matangazo 160 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.