









Bei ya muuzaji: TSh 95,000,000
Toyota Land Cruiser V8 ya mwaka 2011, imefanyiwa facelift kuonekana kama ya 2016. Ina injini ya 4.5L V8 Diesel, Automatic transmission, na imetembea kilomita 97,000. Gari ina viti 7, rangi nyeupe, na namba ya usajili D. Inapatikana Dar es Salaam.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.