









Bei ya muuzaji: TSh 7,800,000
Suzuki Jimny ya mwaka 2008, yenye injini ya 650cc na transmission Automatic, inauzwa. Gari hili jeupe lina namba ya usajili T597 DCX na imetumika Tanzania. Ina AC kamili.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.