









Bei ya muuzaji: TSh 14,500,000
Ford Explorer ya mwaka 2003 inauzwa, rangi nyeusi, injini ya petroli na gia otomatiki. Ina mfumo wa 4WD na AC kamili. Gari hili limeingizwa kutoka nje na bado halijasajiliwa. Inapatikana Dar es Salaam kwa bei ya shilingi milioni 14.5.
Business Seller β’ Matangazo 56 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.