









Bei ya muuzaji: TSh 37,500,000
Nissan Civilian Mayai Ndefu inauzwa. Ina injini ya TD42 yenye 4200cc, inatumia diseli na ina gia za kawaida (manual). Rangi yake ni nyeupe na pinki. Gari hili halijasajiliwa Tanzania na linauzwa kwa shilingi milioni 37.5.
Business Seller β’ Matangazo 20 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.