









Bei ya muuzaji: TSh 8,800,000
Mitsubishi Pajero iO ya mwaka 2000 inauzwa. Ina injini ya Petroli 1800cc, Automatic transmission na mfumo wa 4WD. Gari ina rangi ya bluu na haijawahi kurudiwa rangi. Imeandikishwa Namba B na inapatikana Kigamboni, Dar es Salaam kwa bei ya TZS 8.8 milioni.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.