









Bei ya muuzaji: TSh 18,000,000
Toyota Mark II Grandy ya mwaka 2004 inauzwa. Gari hili lina injini ya petroli ya 1998cc yenye silinda sita na transmission automatic. Imetembea kilomita 30,000 tu na ina namba ya usajili T560 EPL. Bei ni milioni 18.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.