
Bei ya muuzaji: TSh 34,800,000
Volkswagen Golf GTI MK6 ya mwaka 2011, rangi nyeupe, inauzwa kwa shilingi 34,800,000. Gari hili lina injini ya 2000cc, limeingizwa kutoka nje ya nchi na halijasajiliwa, lakini usajili wa bure unatolewa. Ina gia Semi-Auto na paddle shifters, ECU imetunwa, matairi mapya, rimu za michezo, na nyaraka kamili.
Business Seller β’ Matangazo 16 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.