









Bei ya muuzaji: TSh 4,800,000
Suzuki Liana ya mwaka 2005, rangi ya Silver, inauzwa kwa TZS 4.8 milioni. Gari hili limetumika Tanzania na lina namba T827 BRK. Ina injini ya Petroli 1600cc, gia Manual, milango 5, na imetembea takriban kilomita 80,000. Ina AC kamili, injini na gearbox nzuri, haina ajali, tairi mpya na ndani ni safi.
Business Seller β’ Matangazo 2 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.