









Bei ya muuzaji: TSh 16,500,000
Toyota Probox ya mwaka 2014 inauzwa, ikiwa na injini ya 1490cc. Gari hili lina usajili wa Namba E (T640 EBE), AC kamili, na matairi mapya manne. Bei ni TZS 16,500,000.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.