









Bei ya muuzaji: TSh 9,000,000
Toyota Vitz ya mwaka 2014 inauzwa, ikiwa na usajili mpya wa Namba D (T288 DGB). Gari hili la Petroli lina injini safi ya cc 1300 na gia boksi safi ya Automatic. Ina milango 5, rangi ya Silver, na inakuja na AC kamili, mfumo wa muziki, na Android TV. Bei ni shilingi milioni 9.
Business Seller β’ Matangazo 8 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.