









Bei ya muuzaji: TSh 16,500,000
Toyota Probox ya mwaka 2014 inauzwa kwa shilingi milioni 16.5. Gari hili lina injini ya 1490cc, AC kamili, na tayari lina namba za usajili za Tanzania (Namba E). Lina tairi nne mpya na limehifadhiwa vizuri.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.