







Bei ya muuzaji: TSh 53,000,000
Toyota RAV4 Hybrid ya mwaka 2015, rangi ya kijivu, inauzwa kwa milioni 53. Gari hili lina milango 5, injini ya 2500cc yenye silinda 4, na mfumo wa AWD. Bado haijasajiliwa nchini Tanzania.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.