









Bei ya muuzaji: TSh 97,800,000
BMW X5 xDrive ya mwaka 2015, yenye rangi nyeupe (Pearl White) na injini ya Diesel 2990cc. Ina mfumo wa AWD/4WD, Automatic transmission, viti 7 vya ngozi, na panoramic sunroof. Gari hii ina mileage ndogo na haijasajiliwa Tanzania. Inauzwa kwa TZS 97.8 milioni.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.