









Bei ya muuzaji: TSh 13,800,000
Toyota Corolla Rumion ya mwaka 2008 inauzwa. Ina injini ya 1,490cc petroli, Automatic transmission, na imetembea kilomita 98,161. Gari ina rangi nyeusi, milango 5, na namba ya usajili T176 DSL. Ina features kama key start, body kit, alloy wheels, digital AC selector, na keyless entry.
Business Seller • Matangazo 14 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Je, gari unalotaka kununua linauzwa bei gani? Jaza fomu fupi hapa chini upate bei halisi ya gari unalotaka kununua.
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.