









Bei ya muuzaji: TSh 80,000,000
Ford Ranger Pickup ya mwaka 2021 inauzwa Dar es Salaam. Ina injini ya 3.2L, mfumo wa All-Wheel Drive (4WD), na imetembea kilomita 98,000. Gari hili la rangi ya kijivu lina namba za Kitanzania T744 EEQ na lipo katika hali nzuri, tayari kwa kazi na safari.
Business Seller β’ Matangazo 48 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Je, gari unalotaka kununua linauzwa bei gani? Jaza fomu fupi hapa chini upate bei halisi ya gari unalotaka kununua.
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.