









Bei ya muuzaji: TSh 30,000,000
Nissan Navara ya mwaka 2019, yenye injini ya Diesel ya 2488cc na mfumo wa 4×4. Gari hili jeupe lina usajili wa Namba D, lina AC kamili, matairi mapya, na redio ya Tesla yenye mfumo kamili wa sauti. Inapatikana Dar es Salaam.
Business Seller β’ Matangazo 16 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.