







Bei ya muuzaji: TSh 49,800,000
Toyota Hiace Van Super GL ya mwaka 2008 inauzwa. Ina injini ya 2980cc ya Diesel (2KD engine), mileage 40,080km, na transmission Automatic. Gari ina rangi nyeupe na kamera za mbele na nyuma. Bado haijasajiliwa Tanzania, imeagizwa kutoka nje ya nchi.
Business Seller β’ Matangazo 20 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.