Toyota Passo ya mwaka 2005, injini 990cc, rangi nyekundu iliyokolea, inauzwa kwa shilingi 6.5 milioni. Gari hili lina usajili Namba D, AC kamili, gia otomatiki na inatumia petroli.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.