Toyota Rav4 ya zamani, yenye injini ya 1990cc 3S-FE na namba ya usajili T 917 BRU, inauzwa kwa TZS 6,800,000. Gari hili la rangi ya bluu lina milango 5, AC kamili, na nyaraka zote zimekamilika. Iko tayari kwa safari popote.
Business Seller • Matangazo 10 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.