









Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
π Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
π¦ Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 15,000,000
BMW X3 ya mwaka 2007, rangi nyeupe, inauzwa kwa shilingi 15,000,000. Gari hili lina injini ya Petroli N52 yenye silinda 6, Automatic transmission, na imesajiliwa Namba E (T897 EHP). Ina milango 5, viti vya ngozi, na rimu za michezo. Imeingizwa kutoka Japan na sasa inatumika Tanzania.
Business Seller β’ Matangazo 7 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.