







Bei ya muuzaji: TSh 11,000,000
Toyota Allex ya mwaka 2003, ikiwa na CC 1490 na rangi ya fedha. Imesajiliwa Tanzania na ina mfumo wa hewa (AC) unaofanya kazi. Bei ni milioni 11.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.