









Bei ya muuzaji: TSh 27,500,000
Toyota Kluger ya mwaka 2002 inauzwa, ina injini ya 2360cc (2AZ) yenye silinda 4, Automatic, na imesajiliwa Namba E. Gari ina AC na mfumo mzuri wa muziki, rangi ya Silver, milango 5, na imetumika Tanzania.
Private Seller • Tangazo 1 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.