Jeep Cherokee ya mwaka 2016, rangi ya chungwa, inauzwa kwa TZS 59.8 milioni. Ina injini ya Petroli 3.2L, Automatic Transmission, na mileage ndogo. Gari hili lina viti vya ngozi, sunroof, push start, power boot, na tayari kuendeshwa. Usajili wa bure unajumuishwa.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.