









Bei ya muuzaji: TSh 200,000,000
Toyota Land Cruiser 79 Double Cabin ya mwaka 2019 inauzwa. Ina injini ya 1HZ (Diesel, silinda 6) na ina milango 4. Gari hili ni jipya kutoka nje ya nchi na halijasajiliwa Tanzania. Bei ni TZS 200,000,000.
Business Seller β’ Matangazo 6 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.