









Bei ya muuzaji: TSh 55,000,000
Mitsubishi Pajero DI-D ya mwaka 2008 inauzwa. Ina injini ya 3200cc ya Diesel na transmission Automatic. Gari hili lina mfumo wa 4WD, viti vya ngozi, sunroof, na milango 5. Bado haijasajiliwa nchini Tanzania.
Business Seller β’ Matangazo 26 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.