





























Toyota Noah ya mwaka 2011, rangi ya bluu, injini ya 2000cc petroli, imetembea kilomita 51,000. Ina sports rims, power boot door, rear spoiler, fog lamps, xenon lights, navigation system, na push to start. Bei ni TZS 23,600,000, ikiwa ni pamoja na usajili.
Business Seller • Matangazo 90 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.