









Bei ya muuzaji: TSh 12,500,000
Toyota Spacio ya mwaka 2008, rangi ya bluu, inauzwa kwa milioni 12.5. Gari hili lina injini ya 1790cc, AC kamili, radio ya Android, na matairi mapya manne. Iko tayari kwa matumizi Tanzania ikiwa na namba ya usajili Namba D (T296 DPP).
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Je, gari unalotaka kununua linauzwa bei gani? Jaza fomu fupi hapa chini upate bei halisi ya gari unalotaka kununua.
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.