









Toyota Mark X Zio ya mwaka 2008, injini 2490cc, imetembea kilomita 55,000. Gari ina namba D, AC kamili na rimu za michezo. Inauzwa kwa TZS 11,000,000.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.