









Bei ya muuzaji: TSh 17,500,000
Toyota Aqua ya mwaka 2017, rangi nyeusi metallic, inauzwa Dar es Salaam. Ina mileage ya kilomita 82,000 na injini ya 1NZ yenye matumizi madogo ya mafuta. Gari hili lina “Push to Start”, kamera ya nyuma, na namba ya usajili Namba E. Bei ni TSh 17.5 milioni, maongezi yapo.
Business Seller β’ Matangazo 9 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.