









Bei ya muuzaji: TSh 7,500,000
Mitsubishi Pajero Mini ya mwaka 1997, rangi ya bluu, inauzwa kwa milioni 7.5. Ina injini ya silinda 4, automatic transmission, full A/C, na inatumia petroli. Gari hili limetumika Tanzania, haina changamoto yoyote, na lina namba ya usajili T947 DQA.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.