









Bei ya muuzaji: TSh 23,500,000
Toyota Rav4 ya mwaka 2011, injini 2360cc ya petroli, inauzwa kwa shilingi milioni 23.5. Gari hili lina rangi ya kijivu, milango mitano, na limekwisha sajiliwa Tanzania (Namba D). Ina mfumo wa Automatic transmission na AC kamili, huku mambo ya ndani yakiwa safi.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.