



















Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
π Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
π¦ Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 48,000,000
BMW X3 ya mwaka 2015, imeagizwa moja kwa moja kutoka Japan. Ina injini ya dizeli ya 1998cc, Automatic transmission, na imetembea kilomita 40,525. Gari hili jeupe lina mfumo wa XDrive (AWD), matairi mapya, viti vya ngozi nyeusi, na sensor za maegesho. Inauzwa kwa shilingi milioni 48, bei inayojumuisha usajili.
Business Seller β’ Matangazo 138 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Simplify buying your dream car with our modern tools. Save your time and money today by making smart, fast, and 100% confident decisions.
Turn your car into cash! ππ° Whether you want to sell your vehicle or need quick cash, choose the right tools and watch your car turn into money today!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.