









Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
π Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
π¦ Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 43,800,000
BMW X1 XDrive 20i ya mwaka 2016 inauzwa. Ina injini ya petroli ya 1990cc TwinPower Turbo na gia ya Automatic. Rangi yake ni nyeusi, ina viti vya ngozi, kamera ya kurudi nyuma, na mfumo wa kuwasha kwa kitufe. Gari hili halijasajiliwa Tanzania na usajili utafanywa bure.
Business Seller β’ Matangazo 19 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Simplify buying your dream car with our modern tools. Save your time and money today by making smart, fast, and 100% confident decisions.
Turn your car into cash! ππ° Whether you want to sell your vehicle or need quick cash, choose the right tools and watch your car turn into money today!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.