















Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
🔍 Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
🏦 Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 23,500,000
Toyota Rumion ya mwaka 2011, injini CC 1490, Automatic, Petrol. Gari hili la rangi ya bluu lina milango 5 na limeingizwa kutoka nje ya nchi, halijasajiliwa Tanzania. Linauzwa kwa bei ya shilingi milioni 23.5, ikiwa ni pamoja na usajili. Ina sport rims na mfumo mzuri wa muziki.
Simplify buying your dream car with our modern tools. Save your time and money today by making smart, fast, and 100% confident decisions.
Turn your car into cash! 📉💰 Whether you want to sell your vehicle or need quick cash, choose the right tools and watch your car turn into money today!
Kwa mfano, Toyota Rumion 2011 (Not-Reg) huuzwa wastani wa Tsh 21,500,000. Je, gari unalotaka kununua linauzwa bei gani? Jaza fomu fupi hapa chini upate bei halisi ya gari unalotaka kununua.
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.