l1bs3zu4f351t1hv1w71vkdcamgswr










Toyota Premio F ya mwaka 2004 inauzwa. Ina…
Toyota Premio F ya mwaka 2004 inauzwa. Ina injini ya 1490cc na usajili Namba D. Gari imetumika Tanzania, haijawahi kupigwa rangi, ina A/C baridi sana, injini na gear box safi. Bei ni TZS 15,800,000.
You may consider these Sedan's for sale in Tanzania: Toyota Crown, Toyota Mark X, Toyota Mark II, Toyota Corolla, Toyota Verso, Audi A4, Toyota Brevis, Toyota Allion, BMW 3 Series, Volvo S40.
Download GariPesa App
Nunua na uza magari kirahisi kupitia simu yako.
Hatua ya kwanza kuelekea kumiliki gari hili ni kujaza fomu hii fupi ili wataalamu wetu waweze kupitisha ombi lako leo.