









Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
🔍 Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
🏦 Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 38,500,000
Subaru Forester XT ya mwaka 2013, rangi nyeupe (Pearl White), injini ya petroli 2000cc na mileage ya kilomita 62,200. Gari hili lina sunroof, viti vya ngozi, sport rims, power boot otomatiki na viti vya umeme. Imeingizwa kutoka nje na inakuja na usajili huru. Bei ni shilingi milioni 38.5.
Business Seller • Matangazo 17 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Simplify buying your dream car with our modern tools. Save your time and money today by making smart, fast, and 100% confident decisions.
Turn your car into cash! 📉💰 Whether you want to sell your vehicle or need quick cash, choose the right tools and watch your car turn into money today!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.