









Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
🔍 Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
🏦 Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 14,800,000
Toyota Noah SR40 ya mwaka 1998 inauzwa. Ina injini ya 1990cc, silinda 4, petroli, na mfumo wa 2-wheel drive. Gari hili jeupe lina AC kamili, matairi mapya manne, viti safi, na nyaraka kamili. Imeishasajiliwa Tanzania ikiwa na namba T508 DBX. Inapatikana Buguruni kwa bei ya TZS 14,800,000.
Simplify buying your dream car with our modern tools. Save your time and money today by making smart, fast, and 100% confident decisions.
Turn your car into cash! 📉💰 Whether you want to sell your vehicle or need quick cash, choose the right tools and watch your car turn into money today!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.