









Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
🔍 Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
🏦 Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 6,800,000
Toyota Vitz ya mwaka 2006, rangi ya silver, inauzwa ikiwa imetumika Tanzania. Ina injini ya Petroli ya 1298cc yenye silinda 4 na transmission Automatic. Gari ina namba T270 DMR, rimu za michezo, matairi mapya, haina rangi upya, gearbox safi, na inawashwa kwa push button. Mambo ya ndani ni safi.
Simplify buying your dream car with our modern tools. Save your time and money today by making smart, fast, and 100% confident decisions.
Turn your car into cash! 📉💰 Whether you want to sell your vehicle or need quick cash, choose the right tools and watch your car turn into money today!
Kwa mfano, Toyota Vitz 2006 (Namba D) huuzwa wastani wa Tsh 8,000,000. Je, gari unalotaka kununua linauzwa bei gani? Jaza fomu fupi hapa chini upate bei halisi ya gari unalotaka kununua.
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.